Sunday, February 8, 2015

MSINIPANGIE WAVAZI ,NIKIVAA NGUO FUPI NI MIMI NA KAMA NAJIUZA NIACHENI MAANA NAUZA PAPU*CHI YANGU ....SIJAAZIMA YA MTU.... AMANDA



Mwigizaji wa filamu, Amamnda Poshi amewatolea uvivu wanaomponda kwa kuvaa nguo fupi huko Instagram. 

Amanda  amewataka  mashabiki  wake  kuachana  na  maisha  yake  binafsi  kwa  madai  kuwa  kama  maisha  yake  yanategemea  kujiuza  kingono  basi  wamwache  maana  anayoiuza  ni  Papu**chi  yake  mwenyewe  na  hajaazima  kwa  mtu.

Huu  ni  ujumbe  wake  alioundika: Instagrameee naipenda sanaaa..naipenda na watu wake nawapenda sanaaa coz ni sehem unayopangiwa uishi vipi,uvae vipi ,ulale wapi,uwe na bwana wa aina gani na ukikaa vibaya utapangiwa mpk chakula cha kutia tumboni tena kwa pesa yako...
  
Naomba ieleweke kila mtu anauhuru wake...kwangu me msinipangie mavazi wala jinsi ya kuishi,nikivaa nguo fupi ni mimi,niwe na miguu mibaya,mapaja mabaya ,sura mbaya haimuhusu mtu ....manina c mzae wenu!!!! mlikuwa mnasubiri mpk mama amanda azae ndio mkosoe mxiuuuuu....
  
Kuhusu nguo mtakosoa sana na makelele pigeni ila kuvaa vimini siachi maana hakuna anayenivisha wala kuninunulia...nanunua kwa pesa yng na kama mtu kuvaa nguo fupi anauza basi acheni kupiga kelele maana nauza papuchi yng sijaazima ya mtu.... 
  
"Niwatakie usiku mwema wote hahahaaaa nawapenda sana

No comments:

Post a Comment